Home »
» timu ya maveterani ya ushirika moshi kuzuru mombasa kenya
timu ya maveterani ya ushirika moshi kuzuru mombasa kenya
Written By KITUMBO GALAXY on Thursday, August 30, 2012 | 6:15 AM
KLABU ya soka ya Ushirika veterani moshi iko kwenye maandalizi ya safari yao
ya kuelekea Mombasa nchini Kenya kwa ajili ya michezo miwili ya
kirafiki itakayofanyika Septemba 8 na 9 mwaka huu katika uwanja wa
Bandari.
zaidi soma fullshangwe.blogspot.com
Post a Comment