. :
Home » » TAMKO LA DIAMOND KUHUSU MGANGA WAKE

TAMKO LA DIAMOND KUHUSU MGANGA WAKE

Written By KITUMBO GALAXY on Monday, February 4, 2013 | 6:39 PM


Naweza kusema kwamba mwaka huu kwa Diamond utakuwa kama ni wa msala juzi juz tulisikia kwamba aliletewa fujo katika show yake iliyofanyika ndani ya Maisha Club.
Leo asubuhi baada ya magazeti ya siku kutoa vinjwa vingi vya habari vilikuwa vikisema kwamba Mganga wa Diamond amejitokeza na anatokea maeneo ya Magomeni "Ustadhi Yahya Michael"sisi kama team nzima ya Fetty The Best baada ya kusikilia habari kama hizi tuliamua kumpigia simu Diamond na akasema kwamba hamfahamu huyo mganga na wala hajiweki katika mambo ya kishirikina ni uongo mtupu"alisema Diamond.
Hili ndiyo gazeti ambalo limechukua nafasi kubwa ya story kati ya diamond na mganga wake 

  Picha ni Bw.Yahya Michael ambaye alijitokeza na kuweka wazi kwamba yeye ndiye Mganga wa Diamond Platinum....
Share this post :

Post a Comment

 
Support : Kitumbo | Johny Template | Mas Template
Copyright © 2011. KITUMBO GALAXY - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by Mas Template
Proudly powered by Blogger